MENYEKANISHA IBIKORWA VYAWE HANO

Jumapili, 2 Februari 2014

Kutumwa wanajeshi wa Burundi Jamhuri ya Afrika ya Kati

Kutumwa wanajeshi wa Burundi Jamhuri ya Afrika ya Kati
Serikali ya Burundi imeamua kutuma kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ikiwa ni kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa katika mkutano wa nchi za Afrika na Ufaransa uliofanyika mjini Paris hivi karibuni.
Mwandishi wa Radio Tehran mjini Bujumbura ametutayarishia ripoti ifuatayo...

Sauti na Video

Andika maoni

 
 
 
1000 herufi iliyosalia

 
Msimbo salama (Security code)
Upyesha (Refresh)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.