MHM HII KALI YA MWAKA !!!!..."MAMTEIWA" JUMBA LADHAHABU AWAKANA WASANII WENZAKE" WOLPER" NA "WEMA" NA KUDAI KUWA HAWAFAHAMU KABISA

Cecilia Sospeter ‘Mamtei’.

“Wolper ndiyo nani na huyo Wema ndiyo nani? Wala siwajui kabisa na ndiyo kwanza nawasikia kutoka kwako. Bongo Movie imevamiwa kwa sasa na ndiyo maana wengi wanaoonekana ni wafanyabiashara na si waigizaji,” alisema Mamtei.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.