MENYEKANISHA IBIKORWA VYAWE HANO

Jumapili, 26 Januari 2014


Katika kile kinachoaminika kuwa ndio mipango iliopo kwa sasa, msanii wa Burundi anekipiga huko nchini Afrika Kusini Chris Dizzo, ametagaza sera zake kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook na Twitter, huku akiweka wazi kuhusu mipango ya kuuza album yake. bila kurekebisha lolote Chris Dizzo aliandika hivi:
‘ Information kwa NDUGU na masapotazi wa mziki wangu, I konw mulokuwa mukisubiria nini itafata kabla yakutoka kORA..Actually ivi ndo itavio kuwa kama mungu akipenda, mwezi 8 ntakuwa tayari kuiachia NEW video ( NIMEDATA ft Chanelle ) And from there, My Album ya nyimbo 8 na video zake 6, itakuwa ndo imekamilika ku take over the land…ILA YOTE AYO KAMA MUNGU AKIPENDA…i AMMEN 

Haya kila la kheri na mafaaniko mema katika harakati 
SHUKA  CHINI  KUTOA MAONI  YAKO 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.