MENYEKANISHA IBIKORWA VYAWE HANO

Jumatatu, 27 Januari 2014

Jamani Pombe sio chai" - LULU asisitiza, adai anaiogopa zaidi ya ukoma.

     
    MSANII wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kuwa sasa hivi anaiogopa na kuiheshimu sana pombe akiamini kwamba ndiyo chanzo cha maisha kuharibika.
    Kwa mujibu wa tovuti ya GPL hivi , Lulu alisema tangu ametoka gerezani ameamua kujiweka pembeni na kilevi hicho na kwamba bora aitwe mshamba.
    “Kiukweli nikiiona pombe kuna wakati naipa shikamoo kwani ndiyo kichocheo cha kila baya hapa duniani, watakaoniona mshamba kwa kubadilika kwangu wanione hivyohivyo,” alisema Lulu.
    Msanii huyo kipindi cha nyumba alikuwa hakamatiki kwa kilevi na kuna wakati aliwahi kuzimika alipofakamia pombe za ofa alipokuwa ndani ya Ukumbi wa Maisha Club, jijini Dar.


    SHUKA CHINI KUTOA MAONI.

    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.